ALHAJ DK.MWINYI SALA IJUMAA MASJID LOOTAH KIEMBE SAMAKI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani iliopo ili  Serikali iweze kufikia malengo ya kuwaletea maendeleo. Alhaj Dk. Mwinyi amesema hayo katika salamu alizotoa kwa waumin walioshiriki Ibada ya sala ya ijumaa iliofanyika Masjid Lutta, Kiembesamaki Mkoa Mjini Magharibi. Amesema hivi sasa nchi